• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha
    • Kuhusu Tamasha
    • 39 Festival
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

TaSUBa na Clouds Plus wakubaliana uendeshaji wa Tamasha la 38 la Bagamoyo

Posted on: April 29th, 2019

Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imeingia makubaliano na Kampuni ya Clouds plus Production yenye lengo la kushirikiana katika kutafuta rasilimali za uendeshaji wa Tamasha la kimataifa la 38 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo linalotegemewa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu.

Akizungumza wakati wa hafla ya kusaini makubaliano iliyofanyika leo katika ukumbi mkubwa wa maonyesho wa TaSUBa,Mkuu wa Chuo wa TaSUBa Dkt.Herbert Makoye alisema kuwa lengo kuu la makubaliano hayo ni kutafuta rasilimali zitazowezesha kuendesha Tamasha hilo lenye lengo la kuenzi,kudumisha na kutunza Utamaduni wa mtanzania.

Aliongeza kuwa tangu kuanzishwa kwake mwaka 1982 Tamasha limekuwa likifanyika kila mwaka bila kukosa mbali na kukumbwa na uhaba wa pesa za uendeshaji,lakini ana amini kwa kushirikiana na Kampuni kubwa ya biashara ya Clouds Plus Production,tamasha linaweza kuvutia wawekezaji mbalimbali.

Naye mkurugenzi wa uendeshaji wa Clouds Plus Production Bw.Ramadhani Bukini alisema kuwa Kampuni yake inayomiliki Televisheni na Redio itatumia mbinu mbalimbali katika kulitangaza tamasha duniani ili kufanya tamasha hilo lifikie malengo yake ya kuenzi na kudumisha utamaduni wa mtanzania  na pia  kuvutia wawekezaji wengi.

 Hafla hiyo fupi ilisindikizwa na burudani ya Muziki wa asili iliyotolewa na kundi la maonyesho cha Bagamoyo Players kinaloundwa na wakufunzi wa TaSUBa

Matangazo

  • MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO MUHULA WA MACHI, 2021 January 08, 2021
  • JOINING INSTRUCTION TO JOIN Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) YEAR 2020/2021 October 21, 2020
  • APPLICATION FORM FOR ADMISSION TO CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2020/2021 (MARCH INTAKE) January 08, 2021
  • TANGAZO LA MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO (TaSUBa) 2020-2021 June 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TAMASHA LA 39

    December 27, 2020
  • ZIARA

    December 23, 2020
  • TaSUBa na Clouds Plus wakubaliana uendeshaji wa Tamasha la 38 la Bagamoyo

    April 29, 2019
  • Balozi wa Japan atembelea TaSUBa

    March 15, 2019
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • IDARA YA HABARI-MAELEZO
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2020 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo . All rights reserved.