• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

TAMASHA LA 44 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

Tuesday 23rd, June 2026
@TaSUBa Bagamoyo

WITO KWA WASANII KUSHIRIKI KATIKATAMASHA LA 44 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYOKUANZIA TAREHE 28 HADI 31 OKTOBA 2026


UTANGULIZI:

Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (Zamani ikijulikana kama Chuo Cha Sanaa Bagamoyo)inawakaribisha wasanii binafsi na vikundi kutoka sehemu mbalimbali duniani kuomba kushiriki katika Tamashaambalo litakalofanyika katika viwanja na kumbi za Taasisi (TaSUBa - Bagamoyo) kuanzia tarehe 28 hadi 31 Oktoba, 2026, katika mji wa kihistoria wa Bagamoyo, Tanzania.


KUHUSU TAMASHA:

Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ni tukio ambalo ni la kipekee na lenye kuvutia sana. Kwakuwa linahusisha na kuchanganya aina mbalimbali za sanaa kama muziki wa asili na kisasa, ngoma, maigizo,sarakasi, vichekesho, mazingaombwe, mashairi, maonyesho (exhibition) na sanaa zingine. Tamasha hili linatoajukwaa la kipekee kwa wasanii wa ndani na kimataifa kushirikiana na kubadilishana uzoefu na ujuzi.


SIFA ZA USHIRIKI:

TaSUBa inawakaribisha wasanii wa fani mbalimbali za sanaa na utamaduni kwa ajili ya kuomba kushiriki katikaTamasha. Iwe wewe ni mwimbaji, mwanamuziki, mchekeshaji, msanii wa sanaa za ufundi (mchoraji, mchongasanamu), au mtaalamu mwingine wa ubunifu, tunakaribisha maombi yako ya kushiriki katika Tamasha.


JINSI YA KUOMBA:

CLICK THE LINK BELOW TO FILL IN THE FORM


https://forms.gle/p59hzPwnUzMKQueU8

Matangazo

  • FEES STRUCTURE FOR ACADEMIC YEAR 2026-2027 June 03, 2026
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2026-2027 September intake June 03, 2026
  • Join instruction for TAMISEMI 2026-2027 June 03, 2026
  • FOMU YA USHIRIKI WA TAMASHA MPYA July 21, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • CALL FOR ARTISTS TO PARTICIPATE IN THE 44th EDITION OF THE BAGAMOYO INTERNATIONAL FESTIVAL OF ARTS AND CULTURE

    June 23, 2026
  • NIDHAMU NI MSINGI WA MAFANIKIO KWA MSANII

    June 22, 2026
  • CREATIVE ECONOMY NI MSINGI WA MAISHA BORA YA BAADAYE KWA VIJANA

    June 20, 2026
  • WANACHUO TASUBA WAFUNDWA JINSI YA KUBADILI VIPAJI KUWA FURSA ZA KIUCHUMI

    June 20, 2026
  • Angalia zote

Video

NIDHAMU NI MSINGI WA MAFANIKIO KWA MSANII
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.