• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

SERIKALI YAIPA TANO TaSUBa

Posted on: July 8th, 2024

SERIKALI imeipongeza Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) kwa kazi nzuri inayoonekana kwa kuboresha miundombinu na kuhakikisha inaendelea kutoa elimu ya sanaa kwa viwango vinavyokubalika.

Akizungumza alipofanya ziara katika Taasisi hiyo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Suleiman Serera, alisema amefurahishwa na maendeleo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo na kwamba Serikali itaendelea kutoa uwezeshaji wa kutosha ili kuhakikisha Chuo hicho kinazidi kwenda kimataifa.

"Nimefurahishwa na maendeleo yanayofanywa na TaSUBa ili kuhakikisha inaendelea kuzalisha wasanii bora na malengo ya chuo yanafikiwa," alisema Dk. Serera.

Amesema TaSUBa ni Chuo cha Kimataifa viwango vyake vinaonekana hivyo wasanii wengi wa Tanzania wanaofanya vizuri Kimataifa ni zao TaSUBa.

Kwa upande wake Mkuu wa TaSUBa, Dk. Herbert Makoye alisema wamejipanga vyema kuhakikisha wanaendelea kufanya vizuri ikiwemo kuongeza idadi ya wanafunzi watakaowadahili kuanzia mwaka ujao wa masomo.

"Tumefurahishwa na ugeni wa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara yetu, tunaahidi kuendelea kufanya vizuri ikiwemo kudahili wanafunzi wengi zaidi kuanzia muhula ujao masomo," alisema.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO INGIZO LA MACHI KWA MWAKA WA MASOMO 2025-2026 December 03, 2024
  • JOIN INSTRUCTION KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026 April 02, 2025
  • Call for the artists Bagamoyo Festival - 2025 May 05, 2025
  • Wito kwa wasanii Tamasha la Bagamoyo - 2025 May 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    March 04, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 19, 2024
  • *SERIKALI KUENDELEA KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA TaSUBa*

    December 07, 2024
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 03, 2024
  • Angalia zote

Video

KARIBU JIUNGE NA CHUO TaSUBa KWA MUHULA WA MACHI 2025
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.