• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 44 Kuahirishwa
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

VIJANA wasanii wametakiwa kufahamu kuwa wana nafasi kubwa katika kulinda na kuimarisha amani ya nchi kupitia kazi zao za sanaa za muziki, ngoma, filamu, maigizo, uchoraji au fasihi.

Posted on: December 19th, 2025

VIJANA wasanii wametakiwa kutafahamu kuwa wana nafasi kubwa  katika kulinda na kuimarisha amani ya nchi kupitia kazi zao za sanaa za muziki, ngoma, filamu, maigizo, uchoraji au fasihi.


Hayo yamesemwa leo Desemba 19, 2025 na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamisi Mwinjuma katika Mahafali ya 36 ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa).


Mhe. Waziri ambaye alikua Mgeni Rasmi katika mahafali hayo amewataka wasanii kutambua kuwa sanaa yao inaweza kuwa chombo muhimu katika kuelimisha jamii, kupunguza migogoro, kujenga maelewano na kuhimiza uzalendo.


"Epukeni kutumia sanaa au majukwaa ya mitandao ya kijamii kuchochea chuki, migawanyiko au vurugu. Badala yake, tumieni vipaji vyenu kuhubiri amani, umoja na mshikamano wa kitaifa," amesema Mhe. Waziri.


Mhe. Mwinjuma amewata wahitimu wote kuwa walinzi wa amani ya Taifa letu, mabalozi wa maadili mema na chachu ya maendeleo chanya katika jamii.

Matangazo

  • majina ya waombaji ambao wamechaguliwa na NACTVET kujiunga na Taasisi ya sanaa na utamaduni Bagamoyo ingizo la Septemba 2025 August 15, 2025
  • JOINING INSTRUCTION 2025-2026 August 15, 2025
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2025/2026 August 18, 2025
  • SELECTED APPLICANT SEPTEMBER INTAKE 2025 (2ND ROUND) November 04, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIJANA wasanii wametakiwa kufahamu kuwa wana nafasi kubwa katika kulinda na kuimarisha amani ya nchi kupitia kazi zao za sanaa za muziki, ngoma, filamu, maigizo, uchoraji au fasihi.

    December 19, 2025
  • KARIBU UJIUNGE NA KOZI YA MUDA MFUPI YA MUZIKI

    May 29, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    March 04, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 19, 2024
  • Angalia zote

Video

MKALI WA BONGO FLEVA BARNABA CLASSIC ATEMBELEA BANDA LA TASUBA NDANI YA SABASABA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.