• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Tamasha la 38





Maonesho ya bidhaa za asili za wajasiriamali ni sehemu ya shughuli zilizopamba Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo.

Kwaya ikitumbuiza wakati wa Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililofanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba, 2019 katika ukumbi wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa).

Kikundi cha sarakasi kikionyesha umahiri wake katika fani hiyo wakati wa Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo.




Vikundi mbalimbali vya kimataifa vilishiriki na kutoa burudani katika Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo.
Msanii wa muziki wa miondoko ya regge akitoa burudani wakati wa Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo.

Msanii wa kughani mashairi akitoa burudani kwa watazamani waliohudhuria Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo.




Kikundi cha ngoma za asili kikionyesha umahiri wake katika kutawala jukwaa wakati wa Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo.

Sarakasi ilikua ni sehemu ya burudani iliyopamba Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa).

Msanii wa muziki wa asili akishambulia jukwaa wakati wa Tamasha la 38 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo.







Matangazo

  • JOIN INSTRUCTION FOR ACADEMIC YEAR 2023-2024 August 16, 2023
  • LIST OF SELECTED APPLICANTS FOR 2023 SEPTEMBER INTAKE August 21, 2023
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2023-2024 (SECOND ROUND) August 16, 2023
  • WITO KWA WASANII KUSHIRIKI TAMASHA LA 42 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO -2023 April 20, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • IMEBAKI MWEZI MOJA KUFANYIKA TAMASHA LA 42 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

    September 26, 2023
  • PONGEZI KWA KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA

    September 23, 2023
  • TaSUBa YAZINDUA DAWATI LA JINSIA

    May 17, 2023
  • TaSUBa YASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI KIMKOA

    May 01, 2023
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.