• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

TaSUBa AWARDS NI MFANO WA KUIGWA KATIKA KUTOA MOTISHA KWA WANAFUNZI

Posted on: June 27th, 2026

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Bw. Edward Buganga amesema TaSUBa Awards ni mfano wa kuigwa na taasisi nyingine za elimu nchini kwa namna zinavyotambua na kuthamini juhudi za wanafunzi kupitia utoaji wa tuzo.Bw. Buganga alitoa kauli hiyo alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya tuzo za TaSUBa Awards Msimu wa Tatu iliyofanyika Chuoni hapo usiku wa Juni 26, 2026.Amesema kuwa utoaji wa tuzo kwa wanafunzi wenye kufanya vizuri katika taaluma na vipaji ni njia bora ya kuwahamasisha ili kuongeza bidii, ubunifu na ushindani wenye tija, jambo ambalo linachangia kuzalisha wataalamu mahiri wa sekta ya sanaa na utamaduni."TaSUBa imeonyesha mfano mzuri wa kuthamini mafanikio ya wanafunzi wake. Huu ni utaratibu ambao taasisi nyingine za elimu zinaweza kuiga ili kuwajengea wanafunzi ari ya kufanya vizuri zaidi katika masomo na vipaji vyao," amesema Bw. Buganga.Aidha, aliipongeza TaSUBa kwa kuendelea kuandaa TaSUBa Awards kila mwaka, akieleza kuwa hafla hiyo si tu inatambua mafanikio ya wanafunzi bali pia inajenga utamaduni wa kuthamini ubora na kuhamasisha kizazi kipya cha wasanii kufanya kazi kwa weledi.TaSUBa Awards Msimu wa Tatu zimewakutanisha viongozi wa serikali, wadau wa sanaa, wakufunzi, wanafunzi na wageni mbalimbali kushuhudia utoaji wa tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika ubunifu na shughuli mbalimbali za kisanaa.Hafla hiyo imeendelea kudhihirisha dhamira ya TaSUBa ya kuendeleza vipaji, kukuza ubora wa elimu ya sanaa na kuandaa wataalamu wenye uwezo wa kushindana katika sekta ya ubunifu nchini na kimataifa.

Matangazo

  • FEES STRUCTURE FOR ACADEMIC YEAR 2026-2027 June 03, 2026
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2026-2027 September intake June 03, 2026
  • Join instruction for TAMISEMI 2026-2027 June 03, 2026
  • majina ya waombaji ambao wamechaguliwa na NACTVET kujiunga na Taasisi ya sanaa na utamaduni Bagamoyo ingizo la Septemba 2025 August 15, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TaSUBa AWARDS NI MFANO WA KUIGWA KATIKA KUTOA MOTISHA KWA WANAFUNZI

    June 27, 2026
  • TaSUBa AWARDS ZINALENGA KUONGEZA HAMASA NA KUIBUA VIPAJI VYA WANAFUNZI

    June 26, 2026
  • ELIMU NA MAZOEZI SIRI YA MAFANIKIO KATIKA SANAA YA UCHORAJI

    June 25, 2026
  • KARIBU TaSUBa KWA MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    June 25, 2026
  • Angalia zote

Video

TaSUBa AWARDS NI MFANO WA KUIGWA KATIKA KUTOA MOTISHA KWA WANAFUNZI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.