Kipaji cha kuchora ni zawadi kutoka kwa Mungu, lakini mafanikio katika sanaa yanategemea jitihada za mtu mwenyewe. Kipaji pekee hakitoshi; kinahitaji kuendelezwa kupitia mazoezi ya mara kwa mara, kujifunza mbinu mpya na kujituma kila siku.Elimu ya sanaa ina nafasi kubwa katika kumjenga msanii. Kupitia mafunzo rasmi, mwanafunzi hupata maarifa, mbinu za kisasa na mwongozo kutoka kwa wataalamu wenye uzoefu.Jiunge na Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) na upate fursa ya kukuza kipaji chako cha uchoraji chini ya wataalamu wa sanaa. TaSUBa ni mahali sahihi ambapo vipaji hukuzwa, ubunifu huimarishwa na ndoto za wasanii hutimia.
Kaole Road
Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania
Simu: +255 762544613
Simu ya kiganjani: +255 766 264 581
Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas
Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.