Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) anawakaribisha vijana wenye vipaji na ndoto za kufikia mafanikio katika sanaa kujiunga na chuo kwa mwaka wa masomo 2026/2027.
TaSUBa ni kituo mahiri cha kuendeleza vipaji na kuzalisha wataalamu wa sanaa na utamaduni wenye uwezo wa kushindana katika soko la ajira na uchumi wa ubunifu nchini na kimataifa.
Ikiwa una kipaji katika muziki, filamu, uigizaji, ngoma, sanaa za maonesho au sanaa za ubunifu, huu ndio wakati wako wa kukiendeleza na kukifanya kuwa taaluma yenye mafanikio.
Karibu TaSUBa kwa mwaka wa masomo 2026/2027. Tuma maombi yako sasa na uanze safari ya kutimiza ndoto zako.
Kaole Road
Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania
Simu: +255 762544613
Simu ya kiganjani: +255 766 264 581
Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas
Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.