TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa TaSUBa unawataarifu wadau wote kuwa Tamasha la 44 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, ambalo awali lilipangwa kufanyika tarehe 26–29 Novemba, limeahirishwa kutokana na muingiliano wa ratiba.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza, hususan kwa wale wote ambao tayari walikuwa wamejiandaa kushiriki au kuhudhuria tamasha hilo.
Tarehe mpya ya tamasha itatangazwa mara tu taratibu zitakapokamilika.
Utawala – TaSUBa
MAWASILIANO ZAIDI
Namba za Simu: +255(0) 755 853 436, +255(0) 714 510 386, and +255(0) 788 840 405
Barua Pepe: bagamoyofest@tasuba.ac.tz au bagamoyofest@gmail.com
Tovuti: www.tasuba.ac.tz
Kaole Road
Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania
Simu: +255 762544613
Simu ya kiganjani: +255 766 264 581
Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas
Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.