• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Historia

HISTORIA YA MANISPAA YA DODOMA

Miaka mingi iliyopita mji huu ambao unaitwa Dodoma ulikuwa ukifahamika kama Calangu (Chalangu) mji huu haukuwa na wenyeji bali ulikuwa na wahamiaji toka maeneo mengine ambao ni wamanghala, wabambali, wayenzele na wanghulimba. Wahamiaji hawa walikuwa wakitofautiana kwa tabia zao, wamanghala na wabambali waliishi msituni na walikuwa wawindaji wakila nyama na asali. Na wayenzele na wa wanghulimba walikuwa wakulima na wafugaji. Watu hawa walikuwa waoga kiasili hivyo watu wengine walipoanza kuingia kutoka maeneo ya kaskazini wambugwe, magharibi wanyamwezi na kusini wa hehe watu hawa waliondoka na kwenda kuishi sehemu nyingine.

Sababu ya wahamiaji hawa kuitwa wagogo, inatokana na wafanyabiashara wakinyamwezi walipokuwa wakipita na bidhaaa zao kuelekea Pwani kwa biashara, walipofika kati ya Itigi na Manyoni walikuta mti mkubwa umeanguka na kuzuia njia, hivyo kwa muda mrefu wali lazimika kulala upande mmoja kabla ya kuvukia upande wa pili wa mti (gogo). Hii iliwafanya kila walipoulizwa wanalala wapi kabla ya kuendelea na safari walisema wanalala kwenye limgogo. Kwa hiyo wahamiaji hawa wakafahamika kama gogo (wagogo) kutokana na gogo hilo. Mnamo mwaka 1912 alifika mjerumani Dr. Spreling (Spelenje), na kuanzisha ngome yake, ngome hiyo kwa sasa ni ofisi ya Waziri Mkuu. Ofisi aliyokuwa akifanyia kazi za utawala na utoaji maamuzi kwa wahalifu (kufungwa, kuchapwa viboko na kunyongwa) kwa sasa ni Ofisi ya CCM Wilaya ya Dodoma Mjini. Bustani aliyopenda kutembelea na kupumzika ilikuwa eneo la Kikuyu ambayo kwa sasa ni Chuo Kikuu cha St. John’s, eneo hili kwa wakati huo lilikuwa tepetepe na mapitio ya wanyama watokao mbuga za kaskazini (Arusha) kuelekea mbuga za kusini (Mikumi). Mapitio ya wanyama hao ndio yaliyosababisha kubadilika kwa jina la eneo hili baada ya tembo kudidimia katika eneo hilo tepetepe karibu na shule ya sekondari mazengo ambayo sasa ni chuo kikuu cha St. Johns. Tendo hili la kudidimia kwa lugha ya Kigogo linajulikana kama IDODOMIA hivyo baada ya kitendo hiki jina likabadilika kutoka Calangu (Chalangu) nakuwa Idodomia (DODOMA).Mji wa Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa makao makuu ya Chama na Serikali chini ya kifungu cha sheria No.320 ya mwaka 1973. Baada ya hapo matukio ya mafanikio yalifuata. Mwaka 1980 mji wa Dodoma ulipewa hadhi ya kuwa Manispaa. Mwaka 1995 serikali iliamua kuwa shughuli zote za bunge zifanyikie Dodoma. Bunge lilianza shughuli zake rasmi mwezi Februari 1996.

Matangazo

  • JOINING INSTRUCTION TO JOIN TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa) YEAR 2025/2026 SEPTEMBER INTAKE July 01, 2025
  • ALMANAC TaSUBa ACADEMIC YEAR 2024 - 2025 October 21, 2024
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2025-2026 SEPTEMBER INTAKE May 28, 2025
  • Wito kwa wasanii Tamasha la Bagamoyo - 2025 May 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO AMETEMBELEA BANDA LA TaSUBa SABASABA

    July 03, 2025
  • KARIBU UJIUNGE NA KOZI YA MUDA MFUPI YA MUZIKI

    May 29, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    March 04, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 19, 2024
  • Angalia zote

Video

KARIBU JIUNGE NA CHUO TaSUBa KWA MUHULA WA MACHI 2025
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.