• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

BODI YA USHAURI TaSUBa YAANZA KAZI RASMI

Posted on: July 7th, 2022

BODI ya Ushauri (MAB) ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imefanya kikao chake cha kwanza Julai 06, chini ya mwenyekiti wake Bw. George Yambesi ambaye ni Katibu Mkuu Mstaafu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Bw. Yambesi ametoa shukrani kwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa kwa kuwaamini na kuwateua kuwa wajumbe wa bodi hiyo.

“Tunamshukuru Waziri kwa uteuzi huu na tunaahidi kufanya kazi kwa weledi na nguvu zote ili kuleta tija na ufanisi katika kuijenga TaSUBa,” amesema Yambesi.

Vile vile Bw. Yambesi amemshukuru Mkuu wa Chuo Dkt. Herbert Makoye na menejimenti yote kwa mapokezi mazuri waliyowapa na kuahidi ushirikiano kwa uongozi wa chuo pamoja na wadau wengine wa sanaa.

Mwenyekiti Yambesi amewapongeza pia wajumbe wote wa bodi kwa kuteuliwa na kuwa sehemu katika mchango wa kuleta tija katika chuo hicho cha sanaa chenye ubora uliotukuka Afrika Mashariki katika kutoa mafunzo ya sanaa na utamaduni.    

Naye Mkuu wa Chuo Dkt. Herbert Makoye kwa niaba ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, ameipongeza Bodi na kuwashukuru wajumbe kwa kukubali uteuzi huo.

“Menejimenti tuko tayari kufanya kazi na kutekeleza maelekezo ya bodi kwa kufanya kazi pamoja ili kufikia malengo yaliyofanya Serikali ifungue chuo hiki,” amesema Dkt. Makoye.   

Wajumbe wa Bodi hiyo ambao ni Prof. Omary Halfa Mbura, Bw. Haruni Benge Matagane, Dkt. Elizabeth Godwin Mahenge na Dkt. Emmanuel Mwesiga Ishengoma,  waliteuliwa na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa Machi 25, 2025.   

Matangazo

  • LIST OF SELECTED APPLICANTS SEPTEMBER INTAKE 2023 SECOND ROUND October 04, 2023
  • LIST OF SELECTED APPLICANTS FOR 2023 SEPTEMBER INTAKE August 21, 2023
  • JOIN INSTRUCTION FOR ACADEMIC YEAR 2023-2024 August 16, 2023
  • WITO KWA WASANII KUSHIRIKI TAMASHA LA 42 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO -2023 April 20, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Karibu TaSUBa Chuo chenye mazingira mazuri kwa ajili ya kujifunzia

    December 06, 2023
  • Waandaaji wa tuzo za Filamu za "Hollywood and African Prestigious Award"

    November 14, 2023
  • *SANAA ITUMIKE KUWAUNGANISHA WATANZANIA BILA KUJALI TOFAUTI ZAO*

    October 29, 2023
  • MSIWAZUIE VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA; KATIBU MKUU MSIGWA

    October 27, 2023
  • Angalia zote

Video

MAANDALIZI YA ONESHO LA WANAFUNZI TaSUBa LINALOFANYIKA KILA IJUMAA YA MWISHO YA MWEZI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.