• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Tamasha la 41
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

SERIKALI KUENDELEA KUIBORESHA TAASISI YA SANAA - BAGAMOYO

Posted on: March 15th, 2023

SERIKALI imesema inataendelea kuiboresha Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), ili kuhakikisha inatoa wasanii watakaoingia katika soko la ushindani kimataifa.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamisi Mwinjuma leo Machi 15, 2023 alifanya ziara kwa mara ya kwanza katika taasisi hiyo tangu alipoteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza mara baada ya kukagua Taasisi hiyo ikiwemo miundombinu, Naibu Waziri, Mwinjuma amesema kuwa serikali imejipanga kuiboresha taasisi hiyo ili kuhakikisha inatoa wasanii bora watakaoingia katika ushindani kimataifa.

Alisema lengo ni kuzalisha wasanii, watengeneza filamu, wanamuziki na wataalamu mbalimbali wa sekta ya sanaa ili kuendana na kasi iliyopo sokoni.

Mhe Naibu Waziri aliongeza kuwa amefurahia kufanya ziara TaSUBa kwa kuwa amekuwa katika tasnia ya sanaa na utamaduni kwa muda mrefu

Matangazo

  • STUDENTS SELECTED MARCH INTAKE 2023 March 23, 2023
  • JOINING INSTRUCTION FOR MARCH INTAKE 2023 March 23, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA TaSUBa KWA KUZALISHA WATAALAM MAHIRI WA SANAA NA UTAMADUNI

    March 18, 2023
  • SERIKALI KUENDELEA KUIBORESHA TAASISI YA SANAA - BAGAMOYO

    March 15, 2023
  • UDAHILI UMEFUNGULIWA MACHI INTAKE

    February 08, 2023
  • NAIBU WAZIRI GEKUL AIPONGEZA TaSUBa KWA USIMAMIZI MZURI WA RASILIMALI FEDHA PAMOJA NA KUWEKA HISTORIA YA UDAHILI MKUBWA

    December 01, 2022
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.