Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

UJUMBE kutoka nchini Korea ya Kusini umetembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa)

Posted on: April 26th, 2023

UJUMBE kutoka nchini Korea ya Kusini umetembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) leo April 26, 2023 na kuahidi kutoa mchango mkubwa katika kuiimarisha Taasisi hiyo hasa katika utoaji wa mafunzo ya filamu.

Korea ya Kusini kupitia Serikali ya Jiji la Busan imesaini makubaliano na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo yakisimamiwa na Bodi ya Filamu Tanzania ili kuweza kusaidia kuimarisha Tasnia ya Filamu na kuanzisha Shule ya Filamu nchini (Film Academy).

Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) Dkt. Herbert Makoye amesema ushirikiano kati ya Korea ya Kusini na Tanzania utakua wa manufaa makubwa kwa Taasisi hiyo na Tasnia ya Filamu nchini kwa ujumla.

"Tuna uhakika wataalam watakuja kutoka Korea na watakuja pia kutusaidia kufundisha vijana wetu hapa TaSUBa," amesema Dkt. Makoye.

Dkt. Makoye ametoa wito kwa wadau wa tasnia ya filamu nchini kujiandaa kwa ajili ya fursa za mafunzo mara zitakapotokea ili kupata ujuzi zaidi na utaalam kutoka kwa wabobezi hawa kwa sababu ina tija kubwa katika tasnia hasa katika utengenezaji wa filamu zilizo na ubora unaokubalika na zenye ushindani katika soko la ndani la nje ya nchi.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO INGIZO LA MACHI KWA MWAKA WA MASOMO 2025-2026 December 03, 2024
  • JOIN INSTRUCTION KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026 April 02, 2025
  • Call for the artists Bagamoyo Festival - 2025 May 05, 2025
  • Wito kwa wasanii Tamasha la Bagamoyo - 2025 May 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    March 04, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 19, 2024
  • *SERIKALI KUENDELEA KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA TaSUBa*

    December 07, 2024
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 03, 2024
  • Angalia zote

Video

KARIBU JIUNGE NA CHUO TaSUBa KWA MUHULA WA MACHI 2025
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.