• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Tamasha la 41
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

WANAFUNZI CHUO CHA TAALUMA YA UREKEBISHAJI TANZANIA (TCTA) WATEMBELEA TaSUBa

Posted on: May 26th, 2022




Wanafunzi katoka Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA) wakiambatana na Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo hicho, Taaluma, Utafiti na Ushauri pamoja na wakufunzi, wametembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) Mei 25, 2022 ikiwa ni ziara ya kimasomo ili kutimiza matakwa ya makubaliano (MoU) kati ya vyuo hivyo viwili. 


Katika ziara hiyo Kaimu Mkuu wa  chuo TaSUBa, ambaye ni Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri Mwl. Gabriel Kiiza alisema, makubaliano ambayo TaSUBa iliingia na TCTA yanahusisha utoaji wa mafunzo  kwa kipindi cha muda mfupi kisichopungua mwezi mmoja na kisichozidi miezi mitatu kwa kila udhahili.


Mwl. Kiiza alisema, tasnia ya sanaa na utamaduni inahitaji ubunifu ili kuiboresha na kuleta vitu vipya kila wakati, ambapo mbali na kuwa ni burudani, ni sehemu ya ajira rasmi ambayo inahusisha kundi kubwa la vijana ambao ni nguvu kazi katika uchumi endelevu.


Kwa upande wake Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo TCTA  Mrakibu wa Magereza  Lihuwi Said Ngonya, alisema makubaliano hayo yamekuwa na tija kwa wanafunzi wa TCTA kwani wamepata na fursa ya kutembelea TaSUBa na kujifunza mengi.


Mrakibu Ngonya alisema, ushirikiano huo  ni fursa nzuri ya kupeana uzoefu katika  Sanaa na Utamaduni kwa kuwa TaSUBa wamebobea na wana uzoefu katika utoaji wa mafunzo hayo.


Makubaliano hayo kati ya TaSUBa na TCTA yanahitaji wanafunzi kutoka TCTA kutembelea TaSUBa  ili  kujifunza mazingira ya Taasisi hiyo kabla ya kuhitimu mafunzo angalau mara moja kwa kila udhahili.





Matangazo

  • JOINING INSTRUCTION TO JOIN Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) YEAR 2022/2023 June 03, 2022
  • FEE STRUCTURE FOR ACADEMIC YEAR 2022/2023 May 27, 2022
  • WITO KWA WASANII KUSHIRIKI KATIKA TAMASHA LA 41 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO KUANZIA TAREHE 22 HADI 29 OKTOBA 2022 April 01, 2022
  • APPLICATION FORM FOR ADMISSION TO CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2022/2023 April 19, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UDAHILI UMEFUNGULIWA

    July 25, 2022
  • BODI YA USHAURI TaSUBa YAANZA KAZI RASMI

    July 07, 2022
  • WANAFUNZI CHUO CHA TAALUMA YA UREKEBISHAJI TANZANIA (TCTA) WATEMBELEA TaSUBa

    May 26, 2022
  • TaSUBa YAENDESHA KAMPENI YA ELIMU KUHUSU MADHARA YA MIMBA ZA UTOTONI NA UMUHIMU WA ELIMU KWA MABINTI

    May 16, 2022
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.