• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Tamasha la 41
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

WAZIRI MCHENGERWA: TaSUBa Taasisi ya Kimkakati

Posted on: February 12th, 2022

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Mohamed Mchengerwa,amezitakaa Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo hasa Taasisi ya Sanaa naUtamaduni Bagamoyo (TaSUBa)  kujiepusha na masula ya Rushwa, Uvivu, ubadhirifuna upendeleo kwenye tasnia ya sanaa ili kuweza kukuza sanaa nchini iliitambulike kimataifa. 

Ameyasema hayo alipotembelea Taasisi ya Sanaa na UtamaduniBagamoyo (TaSUBa) Februari 09, 2022 na kuona mikakati inayoendelea kufanyikakatika Taasisi hiyo na kuitaja kuwa ni Taasisi ya kimkakati kwa Taifa. AidhaWaziri Mchengerwa ameahidi mageuzi makubwa  ndani ya Taasisi hiyo hukuakitoa jukumu la kushirikiana na wadau kufanya utafiti wa falsafa ya muziki waTanzania (Tanzanian sound/beat).

Mchengerwa amesema kulingana na kauli ya Rais Mhe. Samia SuluhuHassan kuhusu kutafuta vijana wenye vipaji katika sanaa mtaa kwa mtaa,anategemea TaSUBa kusaidia kuwabaini vijana wenye vipaji na kuwasaidia. 

Amesema Wizara inajipanga kuhakikisha Taasisi hiyo inakuwa naTelevisheni yake ambayo kukiwa na matamasha ya Utamaduni na Sanaa au matangazombalimbali yanayohusu sanaa yawe yanarushwa moja kwa moja kwenye televishenihiyo. 

Hata hivyo amesema suala la Rushwa, uzembe na upendeleoataendelea kupiga vita kwa maana yanashusha thamani na kuturudisha nyuma kamataifa, kila jambo linawezekana tunaweza tukashiriki mashindano makubwa yakimataifa kama tutaamua. Pamoja na hayo Mchengerwa amesema wapo katika mkakatiwa kunzisha shule za michezo nchini ambazo zitakuwa daraja la kuinua vipaji vyamichezo kwa vijana wa kitanzania mbao wapo mtaani.

 "Tumekubaliana na watendaji kwamba tunakwendakuanzisha shule 56 za michezo nchini ambapo shule moja itakuwa hapa Bagamoyokwasababu ya mazingira lakini tutajipanga namna ya kufanya ili kuboresha baadhiya viwanja vyetu ikiwemo kiwanja cha Mwanakalengwe kilichopo wilayaniBagamoyo". 

Katika ziara hiyo Waziri Mchengerwa aliambatana na Katibu Mkuu,Dkt. Hassan Abbasi, Naibu Katibu Mkuu, Mhe. Said Yakub pamoja na Mkuu wa Wilayaya Bagamoyo Mhe. Zainab Abdallah.

Matangazo

  • JOINING INSTRUCTION TO JOIN Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) YEAR 2022/2023 June 03, 2022
  • FEE STRUCTURE FOR ACADEMIC YEAR 2022/2023 May 27, 2022
  • WITO KWA WASANII KUSHIRIKI KATIKA TAMASHA LA 41 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO KUANZIA TAREHE 22 HADI 29 OKTOBA 2022 April 01, 2022
  • APPLICATION FORM FOR ADMISSION TO CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2022/2023 April 19, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UDAHILI UMEFUNGULIWA

    July 25, 2022
  • BODI YA USHAURI TaSUBa YAANZA KAZI RASMI

    July 07, 2022
  • WANAFUNZI CHUO CHA TAALUMA YA UREKEBISHAJI TANZANIA (TCTA) WATEMBELEA TaSUBa

    May 26, 2022
  • TaSUBa YAENDESHA KAMPENI YA ELIMU KUHUSU MADHARA YA MIMBA ZA UTOTONI NA UMUHIMU WA ELIMU KWA MABINTI

    May 16, 2022
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.