• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

WAZIRI MCHENGERWA: TaSUBa Taasisi ya Kimkakati

Posted on: February 12th, 2022

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Mohamed Mchengerwa,amezitakaa Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo hasa Taasisi ya Sanaa naUtamaduni Bagamoyo (TaSUBa)  kujiepusha na masula ya Rushwa, Uvivu, ubadhirifuna upendeleo kwenye tasnia ya sanaa ili kuweza kukuza sanaa nchini iliitambulike kimataifa. 

Ameyasema hayo alipotembelea Taasisi ya Sanaa na UtamaduniBagamoyo (TaSUBa) Februari 09, 2022 na kuona mikakati inayoendelea kufanyikakatika Taasisi hiyo na kuitaja kuwa ni Taasisi ya kimkakati kwa Taifa. AidhaWaziri Mchengerwa ameahidi mageuzi makubwa  ndani ya Taasisi hiyo hukuakitoa jukumu la kushirikiana na wadau kufanya utafiti wa falsafa ya muziki waTanzania (Tanzanian sound/beat).

Mchengerwa amesema kulingana na kauli ya Rais Mhe. Samia SuluhuHassan kuhusu kutafuta vijana wenye vipaji katika sanaa mtaa kwa mtaa,anategemea TaSUBa kusaidia kuwabaini vijana wenye vipaji na kuwasaidia. 

Amesema Wizara inajipanga kuhakikisha Taasisi hiyo inakuwa naTelevisheni yake ambayo kukiwa na matamasha ya Utamaduni na Sanaa au matangazombalimbali yanayohusu sanaa yawe yanarushwa moja kwa moja kwenye televishenihiyo. 

Hata hivyo amesema suala la Rushwa, uzembe na upendeleoataendelea kupiga vita kwa maana yanashusha thamani na kuturudisha nyuma kamataifa, kila jambo linawezekana tunaweza tukashiriki mashindano makubwa yakimataifa kama tutaamua. Pamoja na hayo Mchengerwa amesema wapo katika mkakatiwa kunzisha shule za michezo nchini ambazo zitakuwa daraja la kuinua vipaji vyamichezo kwa vijana wa kitanzania mbao wapo mtaani.

 "Tumekubaliana na watendaji kwamba tunakwendakuanzisha shule 56 za michezo nchini ambapo shule moja itakuwa hapa Bagamoyokwasababu ya mazingira lakini tutajipanga namna ya kufanya ili kuboresha baadhiya viwanja vyetu ikiwemo kiwanja cha Mwanakalengwe kilichopo wilayaniBagamoyo". 

Katika ziara hiyo Waziri Mchengerwa aliambatana na Katibu Mkuu,Dkt. Hassan Abbasi, Naibu Katibu Mkuu, Mhe. Said Yakub pamoja na Mkuu wa Wilayaya Bagamoyo Mhe. Zainab Abdallah.

Matangazo

  • JOIN INSTRUCTION FOR ACADEMIC YEAR 2023-2024 August 16, 2023
  • LIST OF SELECTED APPLICANTS FOR 2023 SEPTEMBER INTAKE August 21, 2023
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2023-2024 (SECOND ROUND) August 16, 2023
  • WITO KWA WASANII KUSHIRIKI TAMASHA LA 42 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO -2023 April 20, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • IMEBAKI MWEZI MOJA KUFANYIKA TAMASHA LA 42 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

    September 26, 2023
  • PONGEZI KWA KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA

    September 23, 2023
  • TaSUBa YAZINDUA DAWATI LA JINSIA

    May 17, 2023
  • TaSUBa YASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI KIMKOA

    May 01, 2023
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.