• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

WAZIRI MCHENGERWA: TaSUBa Taasisi ya Kimkakati

Posted on: February 12th, 2022

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Mohamed Mchengerwa,amezitakaa Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo hasa Taasisi ya Sanaa naUtamaduni Bagamoyo (TaSUBa)  kujiepusha na masula ya Rushwa, Uvivu, ubadhirifuna upendeleo kwenye tasnia ya sanaa ili kuweza kukuza sanaa nchini iliitambulike kimataifa. 

Ameyasema hayo alipotembelea Taasisi ya Sanaa na UtamaduniBagamoyo (TaSUBa) Februari 09, 2022 na kuona mikakati inayoendelea kufanyikakatika Taasisi hiyo na kuitaja kuwa ni Taasisi ya kimkakati kwa Taifa. AidhaWaziri Mchengerwa ameahidi mageuzi makubwa  ndani ya Taasisi hiyo hukuakitoa jukumu la kushirikiana na wadau kufanya utafiti wa falsafa ya muziki waTanzania (Tanzanian sound/beat).

Mchengerwa amesema kulingana na kauli ya Rais Mhe. Samia SuluhuHassan kuhusu kutafuta vijana wenye vipaji katika sanaa mtaa kwa mtaa,anategemea TaSUBa kusaidia kuwabaini vijana wenye vipaji na kuwasaidia. 

Amesema Wizara inajipanga kuhakikisha Taasisi hiyo inakuwa naTelevisheni yake ambayo kukiwa na matamasha ya Utamaduni na Sanaa au matangazombalimbali yanayohusu sanaa yawe yanarushwa moja kwa moja kwenye televishenihiyo. 

Hata hivyo amesema suala la Rushwa, uzembe na upendeleoataendelea kupiga vita kwa maana yanashusha thamani na kuturudisha nyuma kamataifa, kila jambo linawezekana tunaweza tukashiriki mashindano makubwa yakimataifa kama tutaamua. Pamoja na hayo Mchengerwa amesema wapo katika mkakatiwa kunzisha shule za michezo nchini ambazo zitakuwa daraja la kuinua vipaji vyamichezo kwa vijana wa kitanzania mbao wapo mtaani.

 "Tumekubaliana na watendaji kwamba tunakwendakuanzisha shule 56 za michezo nchini ambapo shule moja itakuwa hapa Bagamoyokwasababu ya mazingira lakini tutajipanga namna ya kufanya ili kuboresha baadhiya viwanja vyetu ikiwemo kiwanja cha Mwanakalengwe kilichopo wilayaniBagamoyo". 

Katika ziara hiyo Waziri Mchengerwa aliambatana na Katibu Mkuu,Dkt. Hassan Abbasi, Naibu Katibu Mkuu, Mhe. Said Yakub pamoja na Mkuu wa Wilayaya Bagamoyo Mhe. Zainab Abdallah.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO INGIZO LA MACHI KWA MWAKA WA MASOMO 2025-2026 December 03, 2024
  • JOIN INSTRUCTION KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026 April 02, 2025
  • Call for the artists Bagamoyo Festival - 2025 May 05, 2025
  • Wito kwa wasanii Tamasha la Bagamoyo - 2025 May 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    March 04, 2025
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 19, 2024
  • *SERIKALI KUENDELEA KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA TaSUBa*

    December 07, 2024
  • JIUNGE NA CHUO INGIZO LA MACHI 2025

    December 03, 2024
  • Angalia zote

Video

KARIBU JIUNGE NA CHUO TaSUBa KWA MUHULA WA MACHI 2025
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.