• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Mfumo wa e -MREJESHO Hurahishisha Mawasiliano ya Serikali na Wananchi

Posted on: June 9th, 2026

Mfumo wa e-Mrejesho umeendelea kurahisisha mawasiliano kati ya Serikali na wananchi kwa kuwawezesha wananchi na wadau kutoa maoni, kuuliza maswali, kuwasilisha malalamiko na pongezi pamoja na kupata majibu kwa haraka zaidi.


Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Savera Salvatory, tarehe 9 Juni, 2026, Mtumba jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya Mfumo wa e-Mrejesho kwa waratibu wa mfumo huo kutoka Wizara na taasisi zake.


Bi. Savera amesema kuwa mfumo huo unawapa wananchi fursa ya kuwasilisha maoni, mapendekezo, pongezi na malalamiko kuhusu huduma wanazopata kutoka katika Wizara na taasisi zake, hivyo kuongeza uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika utoaji wa huduma za umma.


“Kupitia mfumo huu, taarifa zimekuwa zikipokelewa na kufanyiwa kazi kwa wakati, huku wananchi wakipatiwa mrejesho popote walipo bila kulazimika kufika katika ofisi za Wizara,” amesisitiza Bi. Savera.


Aidha, amewataka washiriki wa mafunzo hayo, ambao ni Maafisa Habari, Maafisa Usimamizi wa Rasilimali Watu na Maafisa TEHAMA, kuhakikisha wanatumia ujuzi watakaoupata kuimarisha zaidi Dawati la e-Mrejesho ili huduma hiyo iwafikie wananchi wengi zaidi.


Mafunzo hayo yanatolewa na wataalamu kutoka Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, ambapo, waratibu wa mfumo huo taasisi za wizara wameshiriki.

Matangazo

  • FEES STRUCTURE FOR ACADEMIC YEAR 2026-2027 June 03, 2026
  • FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2026-2027 September intake June 03, 2026
  • Join instruction for TAMISEMI 2026-2027 June 03, 2026
  • FOMU YA USHIRIKI WA TAMASHA MPYA July 21, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mfumo wa e -MREJESHO Hurahishisha Mawasiliano ya Serikali na Wananchi

    June 09, 2026
  • KARIBU TaSUBa: VIPAJI HUZALIWA LAKINI WASANII HUANDALIWA

    June 04, 2026
  • KIPAJI CHA USHAIRI CHAMPA MWELEKEO MWANAFUNZI WA TaSUBa

    June 01, 2026
  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 30, 2026
  • Angalia zote

Video

"FROZEN DANCE" YA MUDA AFRIKA YAKONGA NYOYO ZA WATAZAMAJI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.