• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Video

  • KIPAJI CHA USHAIRI CHAMPA MWELEKEO MWANAFUNZI WA TaSUBa

    June 1st, 2026

    Nasoro Mchunga, mwanafunzi wa kozi ya Music and Sound Production katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), ameendelea kuonesha umahiri wake katika sanaa ya ushairi, kipaji ambacho anasema alianza kukiendeleza mwaka 2020 alipokuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza.Nasoro anabainisha kuwa mapenzi yake kwa ushairi yalianza tangu akiwa shuleni, ambapo alianza kutunga mashairi mbalimbali yaliyolenga kuelimisha, kuburudisha na kuhamasisha jamii kuhusu masuala tofauti ya kijamii.Amewahimiza vijana wenye vipaji mbalimbali kuviendeleza kwa kujituma, kujifunza na kutokata tamaa, akisisitiza kuwa vipaji vinaweza kuwa daraja la kufikia mafanikio makubwa endapo vitapewa nafasi ya kukuzwa.

  • TaSUBa NA TAMASHA LA KIMATAIFA LA BAGAMOYO VYATAJWA KUKUZA SANAA TANZANIA

    May 30th, 2026

    Mkazi wa Bagamoyo, Bw. Shabani Ramadhani, ameeleza kuwa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imekuwa na mchango mkubwa katika kukuza, kuendeleza na kutangaza sanaa nchini Tanzania kwa miaka mingi.Amesema uwepo wa TaSUBa umeiwezesha Bagamoyo kuwa kitovu muhimu cha sanaa na utamaduni, huku ikitoa fursa kwa vijana wengi kupata elimu ya sanaa na kuendeleza vipaji vyao katika nyanja mbalimbali za ubunifu.Bw. Ramadhani pia amepongeza Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, akieleza kuwa tamasha hilo limekuwa jukwaa muhimu linalowakutanisha wasanii kutoka Tanzania na mataifa mbalimbali duniani kwa ajili ya kubadilishana uzoefu, kuonesha kazi zao na kuimarisha ushirikiano wa kiutamaduni.

  • JUKWAA BORA NDIYO INAYOLETA PERFORMANCE BORA

    May 30th, 2026

    Mwalimu Felix Sesoa ambaye ni mkufunzi katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) anaeleza kuwa teknolojia ya majukwaa (Stage Technology) ni sehemu muhimu katika mafanikio ya maonesho yoyote ya sanaa, kwani huchangia kwa kiasi kikubwa ubora wa uwasilishaji wa kazi za wasanii kwa hadhira.Anaeleza kuwa teknolojia ya majukwaa inahusisha matumizi ya vifaa na mifumo mbalimbali ya taa, sauti, mapambo ya jukwaa, pamoja na mbinu za kiufundi zinazowezesha maonesho kufanyika kwa ufanisi na kuvutia watazamaji."Hata kama wasanii wana vipaji vikubwa, maonesho yao yanaweza kupungua thamani endapo hayatasaidiwa na teknolojia bora ya jukwaani," anasema Mwl. Sesoa.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • Next →

Matangazo

  • MWONGOZO WA TAMASHA 2023 September 23, 2024
  • WITO KWA WASANII MPYA July 21, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 22, 2026
  • WASANII WA KOMBOLELA WAWAPIGA MSASA WANACHUO WA TaSUBa

    February 05, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI TaSUBa LAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI 2026/2027

    February 03, 2026
  • VIJANA wasanii wametakiwa kufahamu kuwa wana nafasi kubwa katika kulinda na kuimarisha amani ya nchi kupitia kazi zao za sanaa za muziki, ngoma, filamu, maigizo, uchoraji au fasihi.

    December 19, 2025
  • Angalia zote

Video

NIDHAMU NI MSINGI WA MAFANIKIO KWA MSANII
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.