• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Video

  • TaSUBa NA TAMASHA LA KIMATAIFA LA BAGAMOYO VYATAJWA KUKUZA SANAA TANZANIA

    May 30th, 2026

    Mkazi wa Bagamoyo, Bw. Shabani Ramadhani, ameeleza kuwa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imekuwa na mchango mkubwa katika kukuza, kuendeleza na kutangaza sanaa nchini Tanzania kwa miaka mingi.Amesema uwepo wa TaSUBa umeiwezesha Bagamoyo kuwa kitovu muhimu cha sanaa na utamaduni, huku ikitoa fursa kwa vijana wengi kupata elimu ya sanaa na kuendeleza vipaji vyao katika nyanja mbalimbali za ubunifu.Bw. Ramadhani pia amepongeza Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, akieleza kuwa tamasha hilo limekuwa jukwaa muhimu linalowakutanisha wasanii kutoka Tanzania na mataifa mbalimbali duniani kwa ajili ya kubadilishana uzoefu, kuonesha kazi zao na kuimarisha ushirikiano wa kiutamaduni.

  • JUKWAA BORA NDIYO INAYOLETA PERFORMANCE BORA

    May 30th, 2026

    Mwalimu Felix Sesoa ambaye ni mkufunzi katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) anaeleza kuwa teknolojia ya majukwaa (Stage Technology) ni sehemu muhimu katika mafanikio ya maonesho yoyote ya sanaa, kwani huchangia kwa kiasi kikubwa ubora wa uwasilishaji wa kazi za wasanii kwa hadhira.Anaeleza kuwa teknolojia ya majukwaa inahusisha matumizi ya vifaa na mifumo mbalimbali ya taa, sauti, mapambo ya jukwaa, pamoja na mbinu za kiufundi zinazowezesha maonesho kufanyika kwa ufanisi na kuvutia watazamaji."Hata kama wasanii wana vipaji vikubwa, maonesho yao yanaweza kupungua thamani endapo hayatasaidiwa na teknolojia bora ya jukwaani," anasema Mwl. Sesoa.

  • DKT. MAKOYE AWATAKA VIJANA KUCHANGIA DAMU ILI KUOKOA MAISHA YA WAGONJWA

    May 22nd, 2026

    Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) Dkt. Herbert Makoye ametoa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuchangia damu salama ili kusaidia kuokoa maisha ya wagonjwa wenye uhitaji wa damu katika hospitali mbalimbali nchini.Amesema vijana wana nafasi kubwa ya kusaidia jamii kupitia uchangiaji wa damu kwani kitendo hicho ni salama na chenye manufaa makubwa kwa wagonjwa wanaohitaji huduma za dharura, wajawazito pamoja na watoto.

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • Next →

Matangazo

  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA TaSUBa MWAKA 2026/2027 INGIZO LA MWEZI MACHI March 31, 2026
  • SELECTED APPLICANTS MARCH INTAKE 2026 March 31, 2026
  • WITO KWA WASANII MPYA July 21, 2025
  • FOMU YA USHIRIKI WA TAMASHA MPYA July 21, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 30, 2026
  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 23, 2026
  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 22, 2026
  • WASANII WA KOMBOLELA WAWAPIGA MSASA WANACHUO WA TaSUBa

    February 05, 2026
  • Angalia zote

Video

TaSUBa NA TAMASHA LA KIMATAIFA LA BAGAMOYO VYATAJWA KUKUZA SANAA TANZANIA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.BOX 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 762544613

    Simu ya kiganjani: +255 766 264 581

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.