• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Video

  • NIDHAMU NI MSINGI WA MAFANIKIO KWA MSANII

    June 22nd, 2026

    MKUFUNZI katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), Bi. Beatrice Taisamo, amesema kuwa nidhamu katika kazi ni moja ya nguzo muhimu zinazo mwezesha msanii kukua kitaaluma na kuzalisha kazi zenye ubora unaokubalika.Akizungumza kuhusu safari yake ya sanaa, Bi. Taisamo alieleza kuwa msanii mwenye nidhamu huipa kazi yake muda, heshima na nguvu zote zinazohitajika ili kufikia malengo aliyojiwekea. Anaongeza kuwa nidhamu humsaidia msanii kushirikiana vyema na wenzake, jambo ambalo huongeza ufanisi na mafanikio katika kazi za pamoja.Bi. Taisamo pia alibainisha kuwa aliamua kujiunga na TaSUBa kwa lengo la kunoa na kukuza kipaji chake cha uigizaji baada ya kugundua kuwa alikuwa na uwezo mkubwa katika sanaa hiyo. Kupitia mafunzo aliyoyapata chuoni hapo, ameweza kuimarisha ujuzi wake na hatimaye kuwa miongoni mwa walimu wanaochangia kuibua na kuendeleza vipaji vya wasanii chipukizi nchini.

  • CREATIVE ECONOMY NI MSINGI WA MAISHA BORA YA BAADAYE KWA VIJANA

    June 20th, 2026

    Meneja wa Msanii Alikiba na Meneja wa Kings Music Records, Bw. Benjamin Otwal, amewahimiza vijana kuzingatia “creative economy” kama njia muhimu ya kujenga maisha bora ya baadaye na kufikia mafanikio katika sekta ya sanaa na ubunifu.Akizungumza na wanachuo wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), Bw. Otwal amesema kuwa dunia ya sasa inahitaji vijana wenye uwezo wa kutumia vipaji vyao kwa ubunifu ili kujiongezea kipato na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.Amesema TaSUBa ni miongoni mwa taasisi zinazotoa mazingira bora ya kujifunzia na kukuza vipaji vya kisanaa kwa kuwaunganisha wanafunzi na wataalamu wa sekta mbalimbali za sanaa na ubunifu.

  • WANACHUO TASUBA WAFUNDWA JINSI YA KUBADILI VIPAJI KUWA FURSA ZA KIUCHUMI

    June 20th, 2026

    Wanachuo wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) wamepata semina maalum iliyotolewa na Rais Mstaafu wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Eliya Mjatta, iliyolenga kuwajengea uwezo wa kubadili vipaji vyao vya kisanaa kuwa chanzo endelevu cha kipato na maendeleo ya kiuchumi.Akizungumza katika semina hiyo, mwezeshaji huyo aliwahimiza wanafunzi kuondokana na mtazamo wa kuona sanaa kama kipaji pekee na badala yake kuichukulia kama biashara yenye uwezo wa kuzalisha ajira, kipato na fursa mbalimbali za maendeleo.Alieleza kuwa mafanikio katika sekta ya sanaa yanahitaji ubunifu unaoambatana na fikra za kibiashara, ikiwa ni pamoja na kutambua mahitaji ya soko, kujitangaza kitaalamu, kujenga mitandao ya kikazi na kuwekeza katika ujuzi unaoongeza thamani ya kazi zao.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • Next →

Matangazo

  • JOINING INSTRUCTION 2025-2026 August 15, 2025
  • SELECTED APPLICANT SEPTEMBER INTAKE 2025 (2ND ROUND) November 04, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA TaSUBa MWAKA 2026/2027 INGIZO LA MWEZI MACHI March 31, 2026
  • SELECTED APPLICANTS MARCH INTAKE 2026 March 31, 2026
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • CALL FOR ARTISTS TO PARTICIPATE IN THE 44th EDITION OF THE BAGAMOYO INTERNATIONAL FESTIVAL OF ARTS AND CULTURE

    June 23, 2026
  • NIDHAMU NI MSINGI WA MAFANIKIO KWA MSANII

    June 22, 2026
  • CREATIVE ECONOMY NI MSINGI WA MAISHA BORA YA BAADAYE KWA VIJANA

    June 20, 2026
  • WANACHUO TASUBA WAFUNDWA JINSI YA KUBADILI VIPAJI KUWA FURSA ZA KIUCHUMI

    June 20, 2026
  • Angalia zote

Video

TaSUBa AWARDS NI MFANO WA KUIGWA KATIKA KUTOA MOTISHA KWA WANAFUNZI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.